KOCHA NAMUNGO AWAPA PROGRAMU MAALUMU WACHEZAJI WAKE

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo amesema kuwa amewapa programu wachezaji wake wakati huu wa mapumziko ili kuona wanalinda vipaji vyao.Namungo ya Ruangwa inashiriki...

NYONI SASA KUUNGANA NA WACHEZAJI WENZAKE BAADA YA MAPUMZIKO KUISHA

0
BEKI mkongwe ndani ya Klabu ya Simba, Erasto Nyoni amesema kuwa anaamini kuwa atajumuika na wachezaji wenzake kwenye mazoezi ya pamoja baada ya mapumziko...

WACHEZAJI LIGI KUU BARA WAPEWA DARASA NAMNA YA KULINDA VIPAJI VYAO

0
NADIR Haroub, 'Cannavaro', Meneja wa timu ya Taifa ya Tanzania amewapa darasa wachezaji wanaokipiga Ligi Kuu Bara kuacha kubweteka kipindi hiki ambapo ligi imesimama...

AZAM FC YASAKA DAWA YA UBUTU WA SAFU YA USHAMBULIAJI ILIYO CHINI YA CHIRWA

0
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa tatizo kubwa linaloimaliza timu kwa sasa ni ubutu wa safu yao ya ushambuliaji inayoongozwa na Obrey Chirwa mwenye...

DIDA ABEBA MATUMAINI YA KUTOSHA NDANI YA LIPULI FC

0
DEOGRATIUS Munish, 'Dida' mlinda mlango wa Lipuli amesema kuwa bado kikosi chao kina nafasi ya kufanya vizuri kwenye Ligi Kuu Bara. Kwa sasa Ligi...

KUMBE MABEKI SIMBA WALIKAMIA MCHEZO WAO MBELE YA YANGA, MSHAMBULIAJI ALIYEWAPA TABU ASIMULIA

0
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Ditram Nchimbi amesema kuwa miongoni mwa sababu zilizoifanya timu yake kusepa na pointi tatu mbele ya Simba Machi 8 Uwanja wa...

MTAMBO MMOJA WA SIMBA WAWAPOTEZA NYOTA TISA NDANI YA YANGA

0
MABAO 19 ya mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere yamewapoteza nyota tisa wa kigeni wanaokipiga ndani ya Yanga kwa sasa.Kagere akiwa ni kinara wa utupiaji...

MZUNGU WA YANGA AMPA PROGRAMU MAALUMU ALIYEWABINA KAGERE NA BOCCO

0
METACHA Mnata, mlinda mlango namba mbili wa Yanga aliyewakazia washambuliaji wa Simba, Meddie Kagere na John Bocco kuibuka na ushindi kwenye mechi yao iliyochezwa...

KOCHA YANGA: NINAJUA UJANJA WA WACHEZAJI WA AFRIKA, WATAKAOZEMBEA MAZOEZI YANGU NITAWAJUA

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa anajua ujanja wa wachezaji pale wanapopewa kazi ya kufanya huzembea jambo ambalo atalijua wakati watakapokutana kwenye...

HOFU YA WACHEZAJI KUPATA MAJERAHA YAONGEZEKA IWAPO LIGI YA ENGLAND ITAMALIZIKA JUNE 30

0
MADAKTARI wa timu zinazoshiriki Ligi Kuu England wamewaonya mabosi wa timu zinazoshiriki Ligi Kuu England kwamba wanapaswa wajiandae na kesi za wachezaji wao kuumia...