UEFA YASIMAMISHWA MPAKA 2021
UEFA imesitisha michuano hiyo ndani ya mwaka huu 2020 mpaka 2021 kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona.Kutokana na kuenea kwa Virusi vya Corona...
MASHINDANO YA DIPLOMATIC GOLF MSIMU WA PILI KUANZA MEI 30
MASHINDANO ya Diplomatic Golf msimu wa pili yanayoratibiwa na Kampuni ya Tanzania Mwandi kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Nchi na...
ISHU YA LIGI KUSIMAMISHWA SIMBA WAIGUSIA, WAICHOKONOA KIANIA KLABU NYINGINE
HAJI Manara amesema kuwa masha ya Watanzania ni muhimu kuliko mpira lakini ana imani kwamba utaratibu upo wazi.Serikali imesimamisha masuala yote ya michezo kwa...
TAMKO LA SERIKALI KUHUSU KUSIMAMISHWA KWA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA
KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa wanasitisha masuala yote yanayohusu mikusanyiko ya watu isiyo ya lazima...
HIVI HAPA VIGINGI 11 VYA YANGA MSIMU HUU WA 2019/20
IKIWA imecheza mechi 27 na kujiwekea kibindoni jumla ya pointi 51, Yanga imebakiza vigingi 11 ili kukamilisha mzunguko wa pili baada ya siku 30...
BREAKING: LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA YASIMAMISHWA KWA MUDA
LIGI Kuu Tanzania Bara, Ligi Daraja la Kwanza, Ligi ya Wanawake na masuala yote ya michezo yanayohusisha mjumuiko ya watu imesitishwa kuanzia leo na...
TFF KUFANYA KIKAO CHA DHARURA KESHO KUJADILI MUSTAKABALI WA LIGI KUU BARA KISA CORONA
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia ameelekeza Kamati ya Uongozi ya Bodi ya Ligi Kuu kuitisha kikao cha dharura kesho Machi...
MAISHA BANA! GHAFLA KLOPP KAGEUKA MTU WA HOFU TUPU, KADONDOSHA KARIBU KILA KITU
Na Saleh AllySIKU za furaha na majigambo zimeporomoka haraka sana katika kikosi cha Liverpool, kikosi ambacho kilionekana hakina mfano kwa misimu miwili mfululizo.Liverpool walikuwa...
NYOTA WA CHELSEA AMUOMBA MSAMAHA KOCHA LAMPARD
MASON Mount nyota wa timu ya Chelsea amemuomba msamaha Kocha Mkuu wa timu hiyo Frank Lampard kwa kosa lake la kuonekana akicheza mpira akiwa...
UONGOZI WA YANGA WAKANUSHA ISHU YA KUMTUHUMU MKUU WA MKOA WA DAR
UONGOZI wa klabu ya Yanga umekataa kuwa haukumtuhumu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makondo kuhusu jambo lolote linalohusiana na Yanga.Taarifa hiyo...