MSIMAMO WA LIGI KUU BARA BAADA YA NAMUNGO KUIBANA MBAVU YANGA

0
MSIMAO wa Ligi Kuu Bara upo namna hii baada ya Yanga kubanwa mbavu na Namungo

SHEVA, SUPER SUB WA SIMBA ATOA KAULI YA MATUMAINI KWA MASHABIKI

0
MIRAJ Athuman,"Sheva' kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa mashabiki wasiwe na mashaka ana imani atarejea uwanjani hivi karibuni kutokana na kuwa na maendeleo mazuri.Sheva...

MWANDISHI CHIPUKIZI KWENYE SEKTA YA MICHEZO LEO NI KUMBUKIZI YAKE

0
LEO ni siku ya kumbukizi ya kuzaliwa mwandishi anayechipukia taratibu kwa upande wa michezo Lunyamadzo Mlyuka.Kila la kheri na MUNGU akupe afya na Buasara...

NAMUNGO FC YAIBANA MBAVU YANGA LEO MAJALIWA, WAGAWANA POINTI MOJAMOJA

0
NAMUNGO FC leo imeibana mbavu Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Majaliwa kwa kulazimsiha sare ya kufungana bao 1-1.Yanga ilianza...

VITA YA KUSHUKA DARAJA INAZIDI KUNOGA, CHEKI MSIMAMO ULIVYO BONGO

0
MSIMAMO wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa sasa upo namna hii, ushindi wa Singida United umewaongezea namba ya pointi pale nafasi ya 20

ILANFYA WA KMC AIMALIZA JUMLAJUMLA ALLIANCE UHURU LEO

0
CHARLES Ilanfya, mshambuliaji wa KMC leo ameifungia timu yake mabao mawili na kuipa pointi tatu timu yake wakati ikishinda kwa mabao 2-1 dhidi ya...

CHIRWA, NALDO WAMLIZA CIOABA WA AZAM FC

0
ARSTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC amekasirishwa na mabao 37 yaliyofungwa na wachezaji wake ndani ya Ligi Kuu Bara na kuwataka washambuliaji wake...

BALAA LA NAMUNGO NA YANGA LEO ACHA KABISA MAJALIWA

0
LEO Uwanja wa Majaliwa, Namungo FC itaikaribisha Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao utaikutanisha miamba hii inayotesa ndani ya tano bora na...

ISHU YA NIYONZIMA KUIGOMEA YANGA IPO NAMNA HII

0
NYOTA wa timu ya Yanga, Haruna Niyonzima amesema kuwa sababu kubwa iliyomfanya asijiunge na kikosi cha Yanga ambacho leo kitacheza mchezo wa Ligi Kuu...

MBELGIJI WA SIMBA ATAJA SABABU YA MLIPILI, KICHUYA, AJIBU KUTOONEKANA UWANJANI

0
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kuna shindani mkubwa wa namba ndani ya kikosi chake jambo linalompasua kichwa kuwapa nafasi wachezaji wake.Raia...