KINACHOMPA NAFASI TSHABALALA KIKOSI CHA KWANZA HIKI HAPA

0
MOHAMED Hussein, 'Tshabalala ' amesema kuwa kinachompa namba kikosi cha kwanza ni juhudi pamoja na kujituma bila kuchoka.Tshabalala amekuwa na msimu mzuri ndani ya Simba...

HUYU HAPA NYOTA ANAYEKIPIGA TIMU YA TAIFA YA RWANDA ANAYEWINDWA NA YANGA

0
 ALLY Niyonzima nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya Rayon Sorts ya Rwanda na timu ya Taifa pia anatajwa kuingia kwenye rada za mabosi wa...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa,  nafasi ya kushinda ndinga mpya ni yako.

MANE AINGIA ANGA ZA MADRID

0
SADIO Mane mshambuliaji wa Liverpool inaelezwa kuwa yupo Kwenye hesabu za Kocha Mkuu wa Real Madrid,  Zinadine Zidane ambaye anataka kupata huduma yake.Mane amekuwa...

SIMBA YATAJA SABABU YA AJIBU KUWA NDANI YA KIKOSI CHA KWANZA

0
MOHAMED Hussein,'Tshabalala' ni beki wa kushoto ndani ya klabu ya Simba pia ni nahodha msaidizi akifanya kazi na John Bocco ambaye ni kapteni mkubwa.Kwenye...

FUNDI WA KUCHEKA NA NYAVU ATOA TAMBO ZA KUTOSHA KABLA YA KUTUA YANGA

0
NYOTA wa Lipuli, Daruesh Saliboko amesema kuwa iwapo Yanga watakamilisha dili lake kutua makao makuu ya Jangwani watafurahi wenyewe kwani atatatua tatizo la ubutu...

JAMES KOTEI ATAJA SABABU ZITAKAZOMRUDISHA SIMBA

0
JAMES Kotei, kiungo mkabaji ambaye alicheza kwa mafanikio ndani ya Klabu ya wa Simba amesema kuwa anapenda kurudi ndani ya Simba kwa kuwa hakuzinguana...

MWAMNYETO, NYOTA ANAYEWINDWA NA SIMBA NA YANGA ATOA YA MOYONI

0
BEKI Chipukizi anayekipiga ndani ya Coastal Union, Bakari Mwamnyeto amesema kuwa ikitokea amepata dili la kujiunga ndani ya Simba ama Yanga atacheki maslahi ili...

MBRAZILI WA SIMBA AJIPA JINA JIPYA, HILI HAPA

0
GERSON Fraga, nyota wa Simba ambaye ni raia wa Brazil amesema kuwa mtindo wake wa ushangiliaji ni jina lake jipya ambalo amepewa na mashabiki...

MTIBWA SUGAR; TIMU ZOTE ZIUNGANE KUPAMBANA NA CORONA

0
Wachezaji wa Mtibwa Sugar kabla ya Ligi kusimamishwa kupisha maambukizi ya Virusi vya CoronaTHOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema kuwa kwa sasa...