GEITA GOLD WAPANIA KUSHIRIKI LIGI KUU BARA
UONGOZI wa Geita Gold, inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza umesema kuwa mipango yao ni kuona wanatimiza malengo yao ya kupanda Ligi Kuu Bara msimu...
KOCHA AMBEBESHA ZIGO LA LAWAMA KIPA LIPULI, KISA KUFUNGWA MABAO MATATU
KOCHA Mkuu wa Lipuli FC, Nzeyimana Mailo amesema kuwa sababu kubwa ya sare ya kufungana mabao 3-3 na Ndanda FC imechangiwa na mlinda mlango...
AZAM FC V ALLIANCE NI VITA YA KISASI KESHO
KIKOSI cha Azam FC, kesho, Machi 7, kitakuwa Uwanja wa Taifa kumenyana na Alliance ya Mwanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.Azam FC itashuka...
RAIS CAF KUTUA BONGO KUISHUHUDIA YANGA NA SIMBA LIVE
AHMAD Ahmad, Rais wa Shirikisho la Soka Afrika, (Caf) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa watani wa jadi Yanga na Simba utakaochezwa Machi...
HESABU ZA MTIBWA SUGAR ZIPO NAMNA HII
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa bado wanapambana kurejesha makali ya kikosi chake katika Ligi Kuu Bara.Mtibwa Sugar imekuwa na mwendo...
YANGA YAONGEZA ULINZI KABLA YA KUVAANA NA SIMBA SABABU ZATAJWA
HASSAN Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wataongeza ulinzi kuelekea kwenye mechi yao ya Simba inayotarajiwa kufanyika Machi 8 Uwanja wa Taifa.Bumbuli amesema...
KABLA YA KUMENYANA NA YANGA, SIMBA YASEMA TUNA KAZI NGUMU
FRANCIS Kahata, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa wana kazi kubwa na ngumu ndani ya Ligi Kuu Bara kusaka pointi tatu kwa kuwa ndiyo...
NAMUNGO WALIA NA UWANJA GAIRO, MOROGORO
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa kilichoiponza timu yake kusepa na pointi moja na bao moja mbele ya Mtibwa Sugar ni...
NYOTA WA ZAMANI WA MANCHESTER UNITED AMTABIRIA MAKUBWA SHAW
RIO Ferdinand, beki wa zamani wa Manchester United amesema kuwa kiwango cha nyota Luke Shaw ni cha ajabu akiendelea kupewa nafasi atafanya makubwa ndani...
DOGO ALIYETIBUA MAMBO LIVERPOOL ATUMA UJUMBE MWINGINE TENA, NDANI YA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa UKURASA wa nyuma Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa