YANGA YAINYOOSHA GWAMBINA KWA BAO MOJA LA KIDEO, YATINGA HATUA YA ROBO FAINALI

0
YANGA leo imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Gwambina FC mchezo uliochezwa Uwanja wa...

MAPILATO WA POLISI TANZANIA V YANGA YAWAKUTA, WAFUNGIWA MIEZI MITATU

0
Waamuzi waliosimamia mchezo namba 223 Polisi Tanzania vs Yanga Abel Willium na Martin Mwalyaje wamefungiwa miezi mitatu (3).Adabu hiyo imetokana na kosa la waamuzi...

KIWIKO CHAMPELEKA MKUDE KAMATI YA NIDHAMU YA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU

0
JONAS Mkude kiungo mkabaji wa Simba amepelekwa Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa...

FA: YANGA 0-0 GWAMBINA

0
Kipindi cha Kwanza: Yanga 0-0 Gwambina FCUwanja wa Uhuru.YANGA leo imeikaribisha Gwambian FC Uwanja wa Uhuru kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho.Mshindi wa leo...

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA GWAMBINA FC LEO UWANJA WA UHURU

0
KIKOSI cha Yanga leo dhidi ya Gwambina FC Uwanja wa Uhuru

KOCHA NAMUNGO AWAPA TANO WACHEZAJI WAKE

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo amesema kuwa wachezaji wake wanapambana kiasi cha kutosha ndani ya Uwanja jambo linalomfurahisha.Thiery jana timu yake imetinga hatua...

MZUNGU WA SIMBA KUJA NA MFUMO MPYA KABLA YA KUIVAA YANGA

0
SVEN Vanderbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kwa sasa anatengeneza mfumo mpya utakaompa matokeo chanya kwenye mechi zake anazocheza.Sven ameshinda mechi sita na...

PICHA: WACHEZAJI WA YANGA WAKISEPA KWENYE MAKAZI YAO YA ZAMANI

0
HIZI hapa picha za baadhi wachezaji wa Yanga ambao wameonekana wakihama kutoka kwenye makazi yao ya zamani maeneo ya Kariakoo ili kusaka makazi mapya. Uongozi...

GWAMBINA FC YAIPIGA MKWARA HUU YANGA

0
UONGOZI wa Gwambiana FC inayoshirki Ligi Daraja la Kwanza umesema kuwa leo utaingia kwa hesabu kali mbele ya Yanga kwenye mchezo wao wa hatua...

ISHU YA KIONGOZI YANGA KUDAI KUIBIWA NA MASHABIKI WA COASTAL UNION IPO HIVI

0
UONGOZI wa Coastal Union ya Tanga umeandika waraka huu kwa mashabiki wao kuhusu tukio la Ofisa Uhamasishaji Antonio Nugaz kudai kuwa alitaka kuibiwa simu...