Habari za Yanga

KIUNGO POLISI TANZANI- NIYONZIMA AMENIIBA NAFASI YANGU YA KUSAJILIWA YANGA

0
KIUNGO wa Polisi Tanzania, Baraka Majogoro amesema kuwa kama asingekuwa Haruna Niyonzima kurejeshwa katika kikosi cha Yanga basi yeye angekuwa mmoja wa wachezaji wa...

MASHINE ZINAZOHITAJIKA SIMBA HIZI HAPA, ISHU YA MSHAHARA YANGA, NI KESHO NDANI YA CHAMPIONI...

0
KESHO ndani ya Championi Jumatatu litakuwa namna hii

KIUNGO MBUSA AINGIA ANGA ZA SIMBA KUMPA CHANGAMOTO JONAS MKUDE

0
JEREMIE Mumbere Mbusa ameletwa duniani 10 Juni 1991 anakipiga ndani ya AS Vita ya Congo.Ana umri wa miaka 28 anacheza nafasi ya kiungo pia...

WACHEZAJI WOTE ENGLAND KUPIMWA CORONA KABLA YA KUCHEZA

0
MTENDAJI Mkuu wa Chama cha Makocha wa Ligi England, Richard Bevan, amesema msimu wa soka nchini humo hautaendelea kama wachezaji wote hawatapimwa Corona. Kauli hiyo...

HUYU HAPA NDIYE MOZIZI ANAYETAJWA KUTUA KLABU ZA BONGO KUTOKA CONGO

0
MPIANA Mozizi anakipiga ndani ya Klabu ya FC Lupopo inayoshiriki Ligi Kuu nchini Congo.Timu yake ipo nafasi ya 11 ikiwa imecheza mechi 22 kibindoni...

HIZI PACHA TATU NI BALAA ZILIKUWA ZIMEWAKA KWA KUCHEKA NA NYAVU

0
LIGI Kuu Bara ikiwa imesimama kupisha maambukizi ya Virusi vya Corona kuna pacha ambazo zilikuwa ni matata uwanjani kwa kucheka na nyavu.Vinara kwenye pacha...

MKWANJA WANAOPOKEA SIMBA KUTOKA KWA MO UPO HIVI

0
OFISA Habari wa Simba, Haji Sunday Manara amesema kuwa Simba inaingiza fedha zaidi ya Sh milioni 130 kila mwezi kama gawiwo kutoka kwenye fedha ya...

LAUTARO MARTINEZ AZIVURUGA KLABU ZA ENGLAND, LA LIGA

0
MACHESTER City inayoshiriki Ligi Kuu England iliyo chini ya Kocha Mkuu, Pep Guardiola ipo tayari kuinasa saini ya nyota anayekipiga ndani ya Inter Milan,...

JONAS MKUDE HATAKI MCHEZO NDANI YA SIMBA

0
JONAS Mkude, kiungo wa Simba amesema kuwa kwa sasa anajifua vilivyo ili kulinda kipaji chake alichonacho.Kwa sasa Ligi Kuu Bara imesimama kupisha maambukizi ya...

MKUDE – KWA SASA SITAKI UJINGA UJINGA..!!

0
BAADA ya mashabiki wa Simba kumpigia kelele kiungo mkabaji wa timu hiyo, Jonas Mkude kuwa ni tatizo katika kikosi chao kutokana na utovu wa...