USHNDI WA MABAO 2-0 MBELE YA NDANDA YAIPA JEURI MTIBWA SUGAR

0
OFISA Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru amesema kuwa kwa sasa klabu hiyo imerejea kwenye ubora baada ya kushinda mabao 2-0 mbele ya Ndanda...

CR 7 KUMBE AMEHUSIKA KICHAPO CHA BARCELONA YA MESSI MBELE YA REAL MADRID

0
LIONEL Messi nahodha wa Barcelona hakuwa na ujanja mbele ya wapinzani wake Real Madrid zaidi ya kushuhudia wakichapwa mabao 2-0 mchezo wao wa La...

UKATA WAITESA MWADUI FC

0
IMEELEZWA kuwa kinachoiponza Mwadui FC kushindwa  kuwa na mwendelezo mzuri wa matokeo ndani ya Ligi Kuu Bara ni hali ngumu ya kiuchumi ambayo wanaipitia...

BREAKING:KABLA YA KUWAVAA SIMBA, AZAM FC YAMUONDOA KIONGOZI WAO MMOJA

0
JAFFARY Maganga aliyekuwa Ofisa Habari wa Azam FC amebadilishiwa nafasi ya cheo chake.Maganga ameondoka kwenye nafasi hiyo ikiwa imebaki siku moja kwa timu ya...

VIGOGO WALITOLEWA JASHO KWELI KOMBE LA FA NA TIMU ZA LIGI DARAJA LA KWANZA

0
KOMBE la Shirikisho limezidi kupamba moto na kwa sasa tayari timu nane zimetinga hatua ya robo fainali ambazo ni Simba, Yanga, Azam FC, Ndanda...

KESI YA POLISI, RUVU SHOOTING NI HADITHI INAYOONYESHA UTOTO

0
Na SALEH ALLYLAZIMA utakuwa umesikia mzozo ulioibuka kati ya Polisi Tanzania dhidi ya Ruvu Shooting kila upande ukitupa lawama kwa mwingine kwamba ulikuwa chanzo...

MSIMU UKIISHA, TUWAELEZE YANGA UKWELI KUHUSIANA NA WANAOWAFANYIA USAJILI…

0
Na Saleh AllyMWANADAMU huwa ni lazima akosee na unapopunguza idadiya makosa hadi kuwa machache sana, utapewa jina moja, mtu makini.Kujikita na kuhakikisha makosa katika jambo...

YANGA: TUNAPITIA KIPINDI KIGUMU KWA SASA

0
JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga amesema kuwa wanatambua wanapitia kipindi kigumu cha matokeo ila hilo haliwafanyi wakate tamaa kutafuta ushindi uwanjani.Yanga imecheza mechi...

SIMBA:MASHABIKI WANATUPA NGUVU YA KUPAMBANA UWANJANI

0
JOHN Bocco, nahodha wa Simba amesema kuwa wanawashukuru mashabiki kwa sapoti yao kwani inawapa nguvu ya kupata matokeo kwenye mechi wanazocheza ndani ya Ligi...

MUDA WA KUJIPANGA KWA TIMU ZILIZOBORONGA MZUNGUKO WA KWANZA BADO UPO KIKUBWA KUJITUMA

0
UKIUTAZAMA msimamo wa Ligi Kuu Bara, timu nyingi zimecheza mechi 24, huku chache zikicheza 23 katika kuelekea kuumaliza msimu huu wa 2019/20 ulioanza Agosti,...