Habari za Michezo

YANGA YAUZIWA MBUZI KWENYE GUNIA

0
Kocha na mchezaji wa zamani wa Simba, Jamhuri Kihwelo 'Julio' ameibuka na kusema kuwa Kocha mpya waliyemsajili Yanga, Luc Eymael, anaweza akaipeleka pabaya timu...

NYOTA YANGA ATUMA MAOMBI YA UVUMILIVU

0
BEKI ya Yanga, Juma Abdul amewataka wanachama wa klabu hiyo kutulia na kutokatishwa tamaa na matokeo wanayoyapata uwanjani kwa kuwa ndiyo kwanza timu hiyo...

KIONGOZI SIMBA ATOA TAMKO KALI JUU YA KOCHA YANGA KUZUNGUMZIA UBAGUZI

0
Kufuatia Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael kueleza alibaguliwa na Mwamuzi, Hance Mabena, katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, Ofisa Habari...

ISHU YA HARMONIZE NA UBUNGE YASABABISHA AWEKWE KIKAANGONI, KILICHOAMULIWA NI HIKI

0
DAR: Wakati wimbi la wasanii kujitosa kwenye siasa likiendelea, staa wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ huenda akakwaa kisiki baada ya uongozi wa Chama...

SIMBA YATUA DAR, KOCHA ATOA LAKE KWA WACHEZAJI

0
KIKOSI cha Simba kimerejea leo Dar kikitokea mkoani Mwanza ambako kilikuwa na mechi mbli za Ligi Kuu Bara.Simba ilicheza na Mbao FC na ilishinda...

MZUNGUKO WA PILI UPO NJIANI, WACHEZAJI WAPYA KAZI KUONYESHA UWEZO WENU

0
LIGI Kuu Tanzania Bara mzunguko wa kwanza hesabu zake ndo zinafungwa kwa sasa ambapo timu zinakamilisha ratiba zao za mwanzo ili kufunga jumla mzunguko...

LIPULI YASAJILI MAJEMBE NANE YA KAZI, DIDA WA SIMBA NA YANGA NDANI

0
MLINDA mlango wa Simba wa zamani na Yanga Deogratius Munishi 'Dida' amejiunga na timu ya Lipuli ya Iringa kwenye usajili wa dirisha dogo.Leo Lipuli...

NJOMBE MJI HUKO MAMBO SIO MAMBO

0
EDGER Mtitu aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa timu ya Njombe Mji amebwaga manyanga kwa kile alichoeleza ni kutokuwa na maelewano na viongozi wenzake ndani ya...

KOCHA WA ASTON VILLA ATHIBITISHA KUMALIZIA TARATIBU ZA MWISHO KUINASA SAINI YAKE, AMPA TANO

0
DEAN Smith, Kocha Mkuu wa Aston Villa amesema kuwa timu yake ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha dili la kuipata saini ya mshambuliaji Mtanzania,...

SIMBA KUTUA BONGO LEO NA POINTI ZAKE SITA ZA KANDA YA ZIWA

0
KIKOSI cha Simba kilicho chini ya Kocha Mkuu, Sven Vanderbroeck leo kinatarajia kurudi Bongo kikitoe Mwanza baada ya kucheza mechi mbili za Ligi Kuu.Mechi...