BAADA YA KUMFANYIA UMAFIA MCHEZAJI AZAM, SONSO AIBUKA NA TAMKO

0
Mlinzi wa klabu ya Yanga, Ally Mtoni ameomba msamaha kufuatia kitendo cha kumkanyaga kwa makusudi mchezaji wa Azam FC katika mchezo wa ligi.Mchezo huo...

KIPIGO CHA AZAM CHAMFANYA KOCHA YANGA AZUNGUMZE AMBAYO HAYAKUTARAJIWA

0
Kocha wa klabu ya Yanga, Luc Eymael ameonesha kutofurahishwa na waamuzi wa mchezo wa ligi dhidi ya Azam FC uliopelekea kufungwa bao 1-0 juzi...

LIVERPOOL HAIZUILIKI KASI YAKE YAIBAMIZA MANCHESTER UNITED

0
JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amemzidi mbinu mpinzani wake Ole Gunnar Solksjaer wa Manchester United kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye...

SIMBA BANA, YATIMIZA 4G MBELE YA ALLIANCE YA MINZIRO

0
SVEN Vandenbroeck leo ameongoza kikosi chake cha Simba kupata ushindi wa mabao 4-1 mbele ya Alliance FC, iliyo chini ya Felix Minziro.Alliance leo ilianza...

MAMBO 7 YANAYOILAZIMISHA ASTON VILLA KUHAKIKISHA INAMPATA NA KUMTUMIA SAMATTA

0
Na Saleh AllyKOCHA Dean Smith wa Aston Villa ndiye aliyemchagua mshambuliaji Mbwana Samatta kutoka KRC Genk kujiunga na kikosi chake kwa ajili ya ukombozi...

LIGI KUU BARA: ALLIANCE 1-0 SIMBA

0
Alliance 1-0 SimbaUwanja wa CCM KirumbaGoool: Israel Mwenda dk ya 27Dakika ya 30 Chinedu anapewa huduma ya kwanzaDakika ya 27 Patrick Mwenda anafunga Goooal...

HILI HAPA JESHI LA SIMBA LITAKALOANZA LEO DHIDI YA ALLIANCE FC YA MWANZA, CCM...

0
KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Alliance FC, Uwanja wa CCM Kirumba, Kakolanya tena Manula benchi

SIRI YA AZAM FC KUSHINDA MBELE YA YANGA HII HAPA

0
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa kilichowabeba mbele ya Yanga kwenye mchezo wao wa jana Uwanja wa Taifa ni morali ya wachezaji kucheza bila...

SIMBA YATAJA SABABU YA KUIFUNGA ALLIANCE LEO KIRUMBA

0
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa sababu itakayowafanya Simba waifunge Alliance leo ni kupata pointi tatu muhimu kwenye mechi yao itakayochezwa Uwanja wa...

SARE YA KUFUNGANA MABAO 2-2 NA CRYSTAL PALACE YAMHUZUNISHA GUARDIOLA, AJA NA GIA NYINGINE

0
KOCHA Mkuu wa Manchester City, Pep Guardiola amesema kuwa wana kazi ya kupambana kupata nafasi ya kushirki Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao kwa...