MASHABIKI MIA TANO KIMEELEWEKA LEO TAIFA, AZAM SIO WA MCHEZOMCHEZO

0
LEO timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stasr itashuka uwanjani kumenyana na timu ya Taifa ya Burundi kwenye mchezo wa kusaka tiketi ya kufuzu...

AJIBU AINGIA KATIKA ANGA ZA MBELGIJI SIMBA

0
KOCHA wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussems juzi kwa mara ya kwanza alianza kazi ya kukinoa kikosi chake na kuonekana akikazia zaidi mazoezi ya fiziki...

ZAHERA AKATIWA RUFAA, MAZITO YAWEKWA HADHARANI

0
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umemkatia rufaa kocha wake Mwinyi Zahera kupinga kufungiwa kutokana na madai ya kutoa lugha chafu kwa Bodi ya Ligi.Bodi...

MBONA WATANYOOKA TU!! DE GEA WA YANGA KIMEELEWEKA CAF

0
Rasmi kipa namba moja wa Yanga, Farouk Shikalo 'de Gea' atakuwa sehemu ya kikosi cha kwanza kitakachoivaa Zesco ya nchini Zambia baada ya juzi...

FALCAO NA SELEMAN KUPATA FEDHA ZA BURE TOKA CAF

0
Mwenyekiti wa Yanga, Mshindo Msolla amesema kuwa wachezaji hao wawili Molinga na Selemani wamewaandalia mgao wa Shilingi 100,000.Mgao huo wataupata  kuptia fedha itakayoingia ndani...

YANGA YAZIMA HUJUMA NA JEURI ZA SIMBA

0
KAMPUNI ya GSM ambao ni wauzaji wa jezi za Yanga, leo (jana) wameingiza mzigo mpya wa jezi huku kukiwa na punguzo kubwa la bei...
Habari za Simba

BANDA AFUNGUKA NAMNA USALAMA WAKE ULIVYO HUKO SAUZ

0
Na George MgangaBEKI Mtanzania anayekipiga katika Klabu ya Highlands Park ya Afrika Kusini, Abdi Banda, amesema hali iliyopo nchini humo imechakufwa na matukio mengi...

STRAIKA ENGLAND AUKUBALI MZIKI STARS

0
NAHODHA wa timu ya Taifa ya Burundi, Saido Berahino, ambaye aliwahi kuzicheza West Brom na Stoke City za Ligi Kuu England, amekubali kiwango kilichoonyeshwa...

WALIOTOKA YANGA WAWA PASUA KICHWA AZAM FC

0
KOCHA Msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche ameweka wazi kuwa tatizo kubwa ambalo linaipasua timu hiyo ni washambuliaji wake kutotumia vyema nafasi wanazopata.Safu ya...

MKE WA BANDA ASIMULIA MUMEWE ALIVYONUSURIKA NA XENEPHOBIA SAUZ

0
Mke wa beki wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anakipiga Highlands Park FC ya Afrika Kusini, Abdi Banda, Zabibu Kiba ameibuka na kuweka...