SABABU ZA MAKOCHA MBAO FC KUBWAGA MANYANGA HII HAPA

0
HEMED Morocco na msaidizi wake Abdulmutik Hajji wameachana na timu ya Mbao FC ya mkoani Mwanza.Morocco amesema kuwa sababu kubwa ya kuachana na tim...

SIMBA YAOMBA SAPOTI KUTOKA KWA MASHABIKI

0
NAHODHA wa Simba, John Bocco amewaomba mashabiki wa Simba kuendelea kuwapa sapoti wachezaji wakiwa wanacheza nao watapambana kufikia malengo waliyojiwekea.Bocco ana mabao matatu ndani...

BIASHARA UNITED KUMALIZANA NA JKT TANZANIA LEO

0
FRANCIS Baraza, Kocha wa Biashara United amesema kuwa wachezaji wake wana morali kubwa na ana imani watasepa na pointi tatu mbele ya JKT Tanzania...

MASHABIKI WAPEWA AHADI HII NA SIMBA LEO UWANJA WA TAIFA

0
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema kuwa leo watatoa soka safi kwa mashabiki wa Simba mbele ya Kagera Sugar.Simba ina shuka Uwanja wa...

KUMBE! UGUMU WA LIGI WAIPA PRESHA JKT TANZANIA

0
ABDALLAH Mohamed 'Bares', Kocha Mkuu wa JKT Tanzania amesema kuwa ugumu wa Ligi Kuu Bara unawafanya wachezaji wake wajitume uwanjani jambo analoamini kwamba wataibuka...

OLE GUNNAR SOLSKAJER AICHAPA CHELSEA MABAO 2-0, LAMPARD ALIA NA VAR

0
KOCHA Mkuu wa Manchester United,Ole Gunnar Solskjaer amesema hafikirii kama wachezaji wake walicheza vizuri mbele ya Chelsea.Manchester United ilishinda jumla ya mabao 2-0 ikiwa...

PLISI TANZANIA YATAJA KITAKACHOWAPA POINTI TATU LEO MBELE YA YANGA

0
FRANK Lukwaro, Ofisa Habari wa Polisi Tanzania amesema kuwa ni ngumu kwa Yanga leo kuondoka na pointi tatu kutokana na maandalizi makini ya kikosi...

TFF YATOA SABABU YA KILICHOTIBUA LIGI KUU TANZANIA BARA

0
WILFRED Kidao, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) amesema kuwa kilichotibua ratiba ya Ligi Kuu Bara kuwa kama ilivyo sasa ni kupanguliwa...

MBEYA CITY SASA KICHEKO WAREJEA SOKOINE, KUANZA KAZI NA LIPULI LEO

0
MBEYA City leo wataikaribisha Lipuli kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Sokoine.Huu utakuwa mchezo wa kwanza kwa timu hizi msimu huu...

KAGERA SUGAR YAZITAKA POINTI TATU ZA SIMBA

0
MECKY Mexime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa wapinzani wake Simba wapo vizuri ila wao hawana hofu na hilo.Kagera Sugar leo itakuwa kazini...