SABABU ILIYOWAPONZA WACHEZAJI WA YANGA KUSHINDWA KULINDA USHINDI KWA POLISI TANZANIA

0
NAHODHA wa Yanga, Papy Tshishimbi amesema kuwa kilichowaponza kushindwa kupata ushindi mbele ya Polisi Tanzania Uwanja wa Ushirika ni ubovu wa Uwanja huo.Tshishimbi aliongoza...

KOCHA YANGA:MOLINGA ATAFUNGA MABAO MENGI

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa anaimani mshambuliaji wake David Molinga atafunga mabao mengi kwenye ligi. Molinga ni kinara ndani ya Yanga...

AZAM FC YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA NDANDA

0
AZAM FC leo ina kibarua cha kumenyana na Ndanda FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Nangwanda Sijaona.Azam FC iliyo chini...

MBEYA CITY: HALI NI MBAYA KWETU

0
KOCHA Msaidizi wa Mbeya City,Mohamed Kijuso amesema kuwa timu yake ipo kwenye hali mbaya msimu huu kutokana na matokeo mabovu ambayo wanayapata jambo linalowafanya...

MTIBWA SUGAR YAPATA PAKUTOKEA LEO

0
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa leo utapambana kupata matokeo mbele ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Jamhuri,...

SIMBA YATAJA SABABU YA KUSHINDWA KUFUNGA MABAO MENGI MBELE YA KAGERA SUGAR

0
NAHODHA wa Simba, John Bocco amesema kuwa wapinzani wao Kagera Sugar walicheza kwa kiwango bora jambo lililowafanya washindwe kuwafunga mabao mengi kutokana na nafasi...

UONGOZI WA YANGA WATAJA WALICHOJIFUNZA KWENYE SARE ZAO TATU MFULULIZO

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa matokeo ya sare mfululizo waliyoyapa yamewafumbua macho na kuwafanya watambue kwamba ligi ya msimu huu wa 2019/20 ni ngumu...

KISA KICHAPO MBELE YA SIMBA, KOCHA AWACHANA WACHEZAJI WAKE JUU YA KIWANGO

0
KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amesema kuwa wachezaji wake hawakucheza vizuri kwenye mchezo wao wa jana dhidi ya Simba uliochezwa Uwanja wa...

KMC YAKWAMA KUENDELEZA USHUJAA MBELE YA NAMUNGO ILIYOFUTA UTEJA WAKE

0
NAMUNGO FC iliyo chini ya Hitimana Thiery jana ilishinda mabao 2-1 dhidi ya KMC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Majaliwa...

LICHA YA KICHAPO CHA MABAO 2-1 MBELE YA MBEYA CITY, DIDA AWEKA REKODI YAKE

0
MLINDA mlango wa Lipuli ya Iringa, Deogratius Munish 'Dida' anaingia kwenye rekodi ndani ya msimu wa 2019/20 kuwa mlinda mlango wa kwanza kupachika bao...