NCHIMBI ABADILI GIA YANGA

0
STRAIKA mpya wa Yanga, Ditram Nchimbi, amekuja na wazo jipya katika kuhakikisha mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara anatoka ndani ya kikosi chao, hivyo...

BARCELONA, REAL MADRID JINO KWA JINO KWA TRAORE

0
KLABU ya Barcelona ipo kwenye mchakato wa kuinasa saini ya nyota wa Wolves, Adama Traore, ambaye alitua kikosini hapo mwaka 2013 akitokea timu ya...

BREAKING: UCHEBE KURUDI BONGO TENA, AZUNGUMZA KUHUSU SIMBA

0
PATRICK Aussems aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba na kupigwa chini mwishoni mwa mwaka Jana,2019 amesema kuwa anaamini siku moja ataonana na mashabiki wake wa...

VPL:RUVU SHOOTING 0-1 YANGA

0
Ruvu Shooting 0-1 YangaUwanja wa UhuruDavid Molinga GooolMchezo wa Ligi Kuu Uwanja wa Uhuru kati ya Ruvu Shooting na Yanga ni kipindi cha pili,...

HUU HAPA USHAURI WA SALEH JEMBE KWENDA SIMBA, YANGA YATAJWA

0
KUTOKANA na kichapo cha bao 1-0 walichopokea Simba mbele ya JKT Tanzania jana, Februari 7,2020 kupokelewa kwa mtindo wa kipekee kwa mashabiki na viongozi.Huu...

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA RUVU SHOOTING

0
Kikosi cha Yanga dhidi ya Ruvu Shooting

SIMBA ILIBANWA MBAVU UHURU KWA MTINDO HUU

0
KIKOSI cha Simba Jana kimebanwa mbavu Uwanja wa Uhuru mbele ya JKT Tanzania kwa kufungwa bao 1-0 mchezo wa Kwanza wa mzunguko wa pili...

RUVU SHOOTING YATAJA IDADI YA MABAO WATAKAYOIFUNGA YANGA LEO

0
UONGOZI wa Ruvu Shooting umesema kuwa haukufurahishwa na bao moja walilowafunga Yanga kwenye mechi yao ya kwanza, leo watafurahi wakiwafunga zaidi ya mabao matatu.Ruvu...

SINGIDA UNITED WAPATA PAKUTOKEA

0
SINGIDA United iliyo chini ya Ramadhan Nswanzurimo imesema kuwa njia ya kuwabakiza kwenye ligi msimu ujao ipo mikononi mwa Mwadui hivyo lazima wapambane kupata...

MAMBO NI MAGUMU SASA NDANI YA SIMBA, MBELIGIJI ATOA LA MOYONI

0
MAMBO ni magumu ndani ya Simba kwa sasa baada ya kichapo cha bao 1-0 balaa zito limeibuka kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara...