KAGERA SUGAR YAANDAA DOZI KAITABA
MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagere Sugar amesema kuwa wataendelea kutoa dozi ndani ya Uwanja wa Kaitaba ili kuongeza nafasi ya kufikia malengo ambayo...
BAADA YA KICHAPO, MBELGIJI SIMBA AONDOKE TU, NDANI YA CHAMPIONI JUMAMOSI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumamosi
EYMAEL WA YANGA AZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA RUVU SHOOTING NAMNA HII
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa leo vijana wake watapambana kuzipata pointi tatu za Ruvu Shooting.Yanga inashuka Uwanja wa Uhuru kumenyana na...
SIMBA WATOA TAMKO KUHUSU KICHAPO CHAO CHA PILI NDANI YA LIGI
UONGOZI wa Simba umesema kuwa umefungwa na timu iliyokuwa bora ndani ya Ligi Kuu Bara.Simba ilifungwa bao 1-0 na JKT Tanzania kwenye mchezo wa...
IGHALO: MAMA ALILIA ALIPOSKIA NATUA UNITED, ISHU YA MSHAHARA HAIKUMPA TABU
ODION Ighalo, mshambuliaji mpya wa Manchester United amesema kuwa alikubali kupunguzwa mshahara ili atimize ndoto yake ya kucheza ndani ya Old Trafford.Ighalo, aliyewahi kuichezea...
BARCELONA KUFANYA USAJILI MAALUMU KUOKOA JAHAZI, MAJEMBE HAYA YATAJWA
IMEELEZWA kuwa Klabu ya Barcelona inaweza kufanya usajili maalumu msimu huu ili kuongeza nguvu kwenye kikosi chake.Kwa sasa kikosi hicho kina wachezaji wawili ambao...
SIMBA : WAPINZANI WETU WALIKUWA VIZURI, TULISHINDWA KUTUMIA NAFASI
JOHN Bocco, nahodha wa Simba amesema kuwa kilichowaponza washindwe kupata matokeo mbele ya JKT Tanzania, Uwanja wa Uhuru ni kushindwa kutumia nafasi walizozipata.Simba ilichapwa...
MATAMKO YA KOCHA YANGA JUU YA NIYONZIMA
Luc Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa miongoni mwa vitu anavyojivunia ndani ya Yanga ni kuwa na aina ya wachezaji wengi wenye uwezo...
JEMBE JIPYA YANGA LAREJEA
Mshambuliaji wa Yanga, Tariq Self Kiakala, amewaambia mashabiki wa timu hiyo kuwa yupo fiti na amepona kabisa majeraha yake.Tariq aliumia mguu katika mchezo dhidi...
LUC AJA NA KITU KIPYA YANGA
Katika kuisuka safu yake ya ushambuliaji, Kocha Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael ametengeneza kombinesheni tatu hatari za kufunga mabao huku akimtumia kiungo wake...