MO AMPIGIA SALUTI NIYONZIMA
KITENDO cha kiungo wa Yanga, Mohamed Issa ‘Mo Banka’, kuamua kumvulia jezi namba 8 na kumpatia kiungo wa zamani wa kikosi hicho Haruna Niyonzima...
BAADA YA KUMUUA KIONGOZI MKUBWA IRAN, MAREKANI YAUA MWINGINE, TRUMP AFUNGUKA
Marekani imemuua kiongozi wa Al-Qaeda katika eneo la Rasi ya uarabuni, Rais Donald Trump ameeleza.Qasim al-Raymi aliyeongoza kikundi cha Jihad tangu mwaka 2015, aliuawa...
KAGERE, KAHATA KUMEKUCHA SIMBA
MEDDIE Kagere, kinara wa utupiaji ndani ya Ligi Kuu Bara msimu huu, pacha yake na mchezaji mwenzake wa zamani walipokuwa Gor Mahia ya Kenya,...
KOCHA AFICHUA CHANZO CHA NCHIMBI
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael, ameweka wazi kwamba alimtumia mshambuliaji wake, Ditram Nchimbi baada ya straika huyo kumuomba msamaha kufuatia kuondoka kikosini bila...
LALLANA AJIANDAA KUSEPA LIVERPOOL, ARSENAL, TOTTENHAM ZAPIGANA VIKUMBO
KIUNGO wa timu ya Liverpool, Adam Lalallana anajiandaa kwa sasa kusepa ndani ya kikosi hicho kilicho chini ya Jurgen Klopp.Nyota huyo mwenye miaka 31,...
VPL:SIMBA 0-0 JKT TANZANIA
Simba 0-0 JKT TanzaniaUwanja wa UhuruMCHEZO ulianza kwa sasa Uwanja wa Uhuru ni kati ya Simba na JK Tanzania.Nyota wapya wa Simba, Luis na...
KIKOSI CHA SIMBA VS JKT TANZANIA. KICHUYA AANZA
Kikosi cha Simba kitakachocheza dhidi ya JKT Tanzania.
YANGA: MORALI YA WACHEZAJI IPO VIZURI, TUTAPAMBANA MBELE YA RUVU
LUC Eymael, Mkuu wa Yanga amesema kuwa anaamini wachezaji wake watafanya vizuri kwenye mchezo wao wa kesho, Februari 8,2020, dhidi ya Ruvu Shooting utakaochezwa...
PIGO, WACHEZAJI SITA WA SIMBA KUIKOSA JUMLA JKT TANZANIA LEO UHURU
SIMBA leo itakuwa Uwanja wa Uhura saa 10:00 Jioni kumenyana na JKT Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ikiwa ni mchezo wa mzunguko...
CR 7 NI MOTO, AFIKISHA MABAO 50 SASA NDANI YA ITALIA, NAFASI YA PILI...
CRISTIANO Ronaldo, nyota wa Juventus amefikisha jumla ya mabao 50 akiwa kwenye maisha ya soka nchini Italia.Nyota huyo mwenye miaka 35 alifikisha idadi hiyo...