AJIBU AKIONA CHA MOTO SAUZI

0
AKIWA Rustenburg, Afrika Kusini kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Ibrahim Ajibu na Francis Kahata wamekiona cha moto ni baada ya Kocha Mbelgiji, Patrick Aussems...

YANGA YATANGAZA MECHI NNE ZA MAAJABU

0
YANGA imetangaza kwamba mwezi Agosti na Septemba watakuwa na mechi nne za kuonyesha ubora wao Afrika lakini hapa kambini pamenoga. Ligi ya Mabingwa Afrika...

LIGT AUNGANA NA CR7 JUVENTUS, ASAINI MIAKA MITANO

0
Klabu ya Juventus imekamilisha usajili wa beki wa kimataifa wa Uholanzi Matthijs de Ligt.Beki huyo kutoka Ajax amekamilisha usajili huo kwa dau la euro,...

MANCHESTER UNITED: HAKUNA OFA YA PAUL POGBA

0
OLE Gunnar Solskjaer, meneja wa Manchester United amesema kuwa bado atabaki na nyota wa kikosi hicho Paul Pogba na anaweza kumfanya akawa bora zaidi...

HUYU NDIYE ALIYE NYUMA YA USAJILI WA NYOTA WA SIMBA FRANCIS KAHATA

0
FRANCIS Kahata kiungo mpya wa Simba amesema kuwa miongoni mwa wachezaji ambao wamechangia kumshawishi ajiunge ndani ya kikosi hicho ni mshambuliaji Meddie Kagere.Kahata amejifunga...

REAL MADRID KUUZA NYOTA WATANO KUMPATA NYOTA WA MANCHESTER UNITED

0
REAL Madrid ipo kwenye mpango wa kuwauza nyota wake watano ili kupata pauni milioni 200 kwa ajili ya kumnunua kiungo wa Manchesster United, Paul...

LEICESTER CITY YAZIKAZIA MANCHESTER CITY NA UNITED KWA BEKI WAO

0
BRENDAN Rodgers bosi wa Leicester City amethibitisha kwamba tayari timu yake imeachana na ofa za timu mbili ambazo zilikuwa zinahitaji huduma ya beki wao...

HAJI MANARA AMZUNGUMZIA JACKLINE WOLPER

0
Alichokiandika ofisa Habari wa Simba, Haji Manara kutokana na kitendo cha Mwingizaji Jackline Wolper kuwarushia Waandishi wa Habari fedha.

CAF YAFANYA MABADILIKO KWA MECHI ZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA, SIMBA NA YANGA KAZI...

0
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limefanya mabadiliko ya mechi za mashindano makubwa.Mabadiliko hayo ni kuanzia msimu ujao wa 2019/20 ambapo limepitisha maamuzi ya...