KWASI ANUKIA TIMU NYINGINE LIGI KUU
Kama mlidhani Asante Kwasi amechuja, ngoja ishu yake na Biashara itiki asaini mkataba wa Kocha Amri Said.Kwasi ni kati ya wachezaji ambao mikataba yao...
KAGERE, MSUDAN NDANI YA NYUMBA SIMBA
Wachezaji wa kimataifa wa Simba, akiwemo Meddie Kagere na Sharaf Shiboub wanaanza kuwasili jijini Dar es Salaam, kesho ijumaa tayari kujiandaa na msimu mpya...
WABABE SENEGAL NA NIGERIA WATINGA NUSU FAINALI AFCON
TIMU za Taifa za Nigeria na Senegal zimefanikiwa kupenya na kuingia hatua ya nusu fainali ya michuano ya kandanda ya mataifa ya Afrika AFCON...
SIMBA YAMPELEKA MO KWA WAZIRI MKUU
KIUNGO wa Simba, Mohamed Ibrahim ‘Mo’ ametolewa kwa mkopo rasmi na klabu yake kwenda kujiunga na Namungo FC ambayo imepanda Ligi Kuu Bara msimu...
GADIEL MICHAEL APANIA KUFANYA MAKUBWA NDANI YA SIMBA
GADIEL Michael nyota mpya wa Simba amesema kuwa kazi yake kubwa ni kucheza hivyo atapambana kufanya vizuri ndani ya kikosi chake kipya.Michael amesaini kandarasi...
MNAMIBIA WA YANGA AKWAMA KWAO
Wakati kikosi cha Yanga kikiwa kimeingia kambi rasmi juzi Jumatatu, nyota wa kigeni wa klabu hiyo, raia wa Namibia, Sadney Khoetage Urikhob ameshindwa kuripoti...
TFF WATOA TAMKO JUU YA OMOG KUINOA TAIFA STARS
Taarifa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) juu ya Kocha Joseph Omog kuifundisha Taifa Stars.
DIDA AAMUA KUFUNGUKA ALIVYOTEMWA NA SIMBA, AMTAJA MANULA – VIDEO
Aliyekuwa kipa namba mbili wa kikosi cha Simba, Deogratius Munishi ;DIDA', amefunguka kutokuwepo katika kikosi cha Simba huku Kocha Patrick Aussems akiwa bado anamuhitaji...
IMEVUJA!! KABWILI ALISHAPATA OFA MACEDONIA AKILIPIWA KILA KITU, MPAKA SASA YUPO MORO
Imeripotiwa kuwa hivi karibuni ilisema kuwa klabu ya FK Renova ya Macedonia barani ulaya ilimpa ofa golikipa wa klabu ya Yanga, Ramadhani Kabwili ya...