HUU SASA NI MSALA ZAIDI, NYOTA WAWILI TEGEMEO KUIKOSA ALGERIA JUMATATU – VIDEO

0
Viungo nyota wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mudathir Yahya na Erasto Nyoni hawatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kwenye mechi...

AKIWA BADO YUKO MISRI, ZAHERA ATOA MAAGIZO YANGA

0
Uongozi wa Yanga umetaja sababu ya kuwahi kuanza maandalizi ya kikosi chao kuwa ni idadi kubwa ya wachezaji wapya waliowasajili katika kuisuka timu hiyo...

TAIFA STARS YAMWEKA NJIA PANDA TANASHA

0
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imemuweka njia panda mrembo wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tanasha Donna Oketch ashindwe kujua asimame upande gani...

KAPOMBE ABEBA MILIONI 70 SIMBA

0
Imefahamika kuwa beki kiraka wa Simba, Shomari Kapombe amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kukipiga Msimbazi kwa dau la Shilingi Milioni 70.Kapombe ni...

SIMBA MAMBO NI MOTO, NYOTA WANNE WAJIONDOA

0
BAADA ya James Kotei kusepa mazima Simba na kutimkia kikosi cha Kaizer Chief ya Afrika Kusini kwa kandarasi ya miaka mitatu mambo yamezidi kupamba...

KINDA WA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND APIGWA PINI MIAKA MITANO UNITED

0
MANCHESTER United imekamilisha dili la kinda Aaron Wan-Bissaka kwa dau la Euro millioni 50.Kinda huyo wa timu ya Taifa ya England mwenye umri wa miaka 21 amesaini dili...

EMMANUEL OKWI AIVURUGA SIMBA

0
NYOTA wa timu ya Simba, Emmanuel Okwi ambaye kwa sasa anazidi kuwa mtamu kwenye michuano ya Afcon inayoendelea nchini Misri amewavuruga mabosi wa Simba...