MBEYA CITY: TUNAMALIZIA SUALA LA USAJILI
JUMA Mwambusi, Kocha Mkuu wa Mbeya City amesema kuwa kwa sasa wanakamilisha utaratibu wa mwisho kusajili wachezaji wapya kabla ya dirisha la usjili kufungwa.Mwambusi...
AZAM FC YAWAITA MASHABIKI KUIPASAPOTI KIMATAIFA
BAADA ya Caf kutoa ratiba ya awali ya michuano ya Afrika, uongozi wa Azam FC umewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi kuwapa sapoti.Akizungumza na Saleh...
KMC USOKWAUSO NA HARUNA NIYONZIMA WA SIMBA
UONGOZI wa KMC umesema kuwa hawana hofu na timu ya AS Kigali ambayo nyota wa zamani wa Simba Haruna Niyonzima amesajiliwa msimu huu.KMC itamenyana...
NYOTA SABA KUJIUNGA LEO NA TIMU YA TAIFA, MMOJA TAARIFA ZAKE HAZIFAHAMIKI
KOCHA msaidizi wa timuya Taifa, Juma Mgunda amesema kuwa leo wachezaji saba waliokuwa nchini Afrika Kusini watajiunga na Timu ya Taifa kufanya mazoezi ya...
RUVU SHOOTING: TUNAKIWASHA KWA KASI MSIMU UJAO
UONGOZI wa Ruvu Shooting umesema kuwa msimu ujao utapambana kupata matokeo chanya kwenye ligi tofauti na msimu uliopita.Ruvu Shooting imeweka kambi mkoani Pwani na...
NYOTA STARS AENGULIWA MOJAKWAMOJA KAMBINI
MUDHATHIR Yahya sasa hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu ya Taifa kutokana na kusumbuliwa na tatizo la kifundo cha mguu.Timu ya Taifa ya Tanzania...
MTIBWA SUGAR YAMALIZANA NA MAJEMBE MANNE FASTA
KIUNGO wa zamani wa Simba na kikosi cha KMC amejiunga na timu yake ya zamani ya Mtibwa Sugar.Humd alipigwa chini na uongozi wa KMC...
UMILIKI WA KLABU, DK MWAKYEMBE AMALIZA KABISA, SASA ASILIMIA 49 LAZIMA MWEKEZAJI ZAIDI YA...
DK MWAKYEMBEBaada ya mzunguko, hatimaye Waziri Mkuu wa Habari, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe amewataka viongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania TFF kuongeza uwazi...
JESHI LA MTU 16 TIMU YA TAIFA LILILOPO MAZOEZINI LEO
KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kinaendelea na mazoezi ya kujiaanda na mchezo dhidi ya Kenya Julai 28 uwanja wa Taifa.Hili...
SASA YANGA KUKIPIGA NA WALE WALIOITOA SHOO EVERTON YA ENGLAND
Ikiwa ni katika kuelekea kilele cha Wiki ya Mwananchi, Yanga imepanga kucheza mchezo wake wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya wababe wa Everton FC...