YANGA DIMBANI LEO DHIDI YA AL AHLY
Klabu ya Al Ahly hii leo inacheza mchezo wake wa Ligi kuu nchini Misri majira ya saa mbili usiku dhidi ya Smouha SC kabla ya…
Klabu ya Al Ahly hii leo inacheza mchezo wake wa Ligi kuu nchini Misri majira ya saa mbili usiku dhidi ya Smouha SC kabla ya…
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Miguel Gamondi, amesema hana presha kuelekea mchezo ujao dhidi ya Al Ahly, huku akibainisha kwamba utakuwa mzuri kwa Wananchi. Gamondi…
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
Simba na Yanga wote wameanza vibaya katika michuano ya ligi ya mabingwa Afrika kwenye hatua ya makundi baada ya kushindwa kupata ushindi. Hii ni kama…
Msongo wa kukosa matokeo mazuri bado inaonekana kuwakumba mashabiki wa Simba baada ya kuibuka kwa idadi ndogo kuipa nguvu timu yao. Simba itashuka Uwanja wa…
OFFICIAL: Kikosi cha SIMBA SC kinachoanza dhidi ya Asec Mimosa Lakred Israel Zimbwe Jr Inonga Kennedy Che Malone Ngoma Mzamiru Kibu D Saido Baleke
Msemaji wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe amedai kuwa wao walimiliki zaidi mpira lakini wapinzani wao, kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya…
KWA mara ya kwanza kwenye soka la Tanzania, klabu za Simba na Yanga zinatengeneza historia kwa kucheza kwa pamoja hatua ya makundi ya Ligi ya…
HUENDA ulikuwa hujui. Sasa sikia hii. Michuano ya Klabu Bingwa Afrika (sasa Ligi ya Mabingwa Afrika) wakati inaanzishwa rasmi mwaka 1964-1965, timu za Afrika Magharibi…
Simba SC inatarajiwa kumkosa Aishi Manula kwenye mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Asec Mimosas katika Uwanja wa Mkapa saa 10:00…