SINGIDA FG WAMUANDHIBU FEI TOTO…. SIO POA
Klabu ya Singida Fontaine Gate imewaadhibu vinara wa Ligi Kuu Zanzibar, JKU FC ya Zanzibar jumla ya magoli 4-1 katika mchezo wa kombe la Mapinduzi…
Klabu ya Singida Fontaine Gate imewaadhibu vinara wa Ligi Kuu Zanzibar, JKU FC ya Zanzibar jumla ya magoli 4-1 katika mchezo wa kombe la Mapinduzi…
Feisal Salum ‘Fei Toto’ ameendelea pale pale alipoishia. Si ajabu amezidi kuwa wa moto zaidi akiwa na jezi ya Azam FC. Kama alivyomtungua Aishi Manula…
Kiungo wa zamani wa Yanga anayekipiga Azam FC kwa sasa, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amekiri kiungo mpya aliyetua kwenye timu hiyo, Shekhan Ibrahim Khamis ni…
Ofisa Habari Yanga, Ally kamwe amesema safari yote ya Zanzibar majibu kamili yatapatikana saa 5 asubuhi hii wananchi watapata Habari zote kwanini Yanga imekuja Zanzibar.…
Wanajeshi sita ndani ya kikosi cha Azam FC wameitwa kwenye timu zao za taifa. Kwa sasa Ligi Kuu Bara ipo kwenye mapumziko kupisha mashindano ya…
Utamu wa Ligi Kuu Bara umesimama kwa muda wa kama wiki mbili ili kupisha michezo ya kimataifa. Taifa Stars inakabiliwa na mechi mbili mfululizo za…
Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ namba zinambeba. Gazeti hili limefanya uchambuzi licha ya kiungo huyo kucheza dakika chache tangu amejiunga na kikosi…
Kiungo wa Azam Yannick Bangala amefurahishwa na kiwango cha Feisal Salum ‘Fei Toto’ akisema jamaa ameanza kuwa mtamu huku akimpa ushauri juu ya mashabiki wanaomzomea…
Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga SC ambaye kwa sasa anakipiga Azam FC, Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ hana furaha ndani ya klabu ya Azam, hivyo…
Msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara kama kuna tukio gumu lililowahi kutikisa nchini ni juu ya sakata la aliyekuwa kiungo wa Yanga Feisal Salum ‘Fei…