Azam FC
KISA SAFARI YA ZANZIBAR ALLY KAMWE AMPIGA KIJEMBE FEI TOTO
Staff Desk
November 27, 2023
11:34 am
Ofisa Habari Yanga, Ally kamwe amesema safari yote ya Zanzibar majibu kamili yatapatikana saa 5 asubuhi hii wananchi watapata Habari zote kwanini Yanga imekuja Zanzibar.
Ally kamwe amewapiga kijembe Azam FC kama wangempata Mchezaji kama Pacome wangemchukua na kupiga nae picha kwenye boti ya Azam FC baada ya kufanya hivyo kwa Feisal Salum ‘Feitoto’
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.