Kagera Sugar Yakamilisha Usajili wa Mudathir Said, Yanasa Nyota Wengine Kibao!
KAGERA: Baada ya kufanikisha lengo la kurejea na kukata tiketi ya kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2026-2027, uongozi wa Kagera Sugar umeanza…
KAGERA: Baada ya kufanikisha lengo la kurejea na kukata tiketi ya kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2026-2027, uongozi wa Kagera Sugar umeanza…
KIKOSI cha Mashujaa FC kipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa beki wa kati, Abdulmajid Mangalo, kutoka Pamba Jiji ili kuimarisha safu yao ya…
YANGA YAIMARISHA KIKOSI: Yamsajili Mshambuliaji Chipukizi Hussein Mihambo kwa Mkataba wa Miaka 4 Klabu ya Yanga imeendelea kuonyesha madhamira yake ya kutawala soka la ndani…
Baada ya kukamilisha usajili wa kiungo fundi Juma Abushiri ‘Chuga Boy’ kwa mkataba wa miaka mitatu, mabingwa wa soka nchini Yanga SC wameendelea kuwasha moto…
Licha ya Mtibwa Sugar kushuka daraja msimu wa 2025-2026, wachezaji wa kikosi hicho wamegeuka lulu sokoni. Klabu mbalimbali za Ligi Kuu Bara zinapigana vikumbo kuwania…
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga SC, Shekhan Khamis, ameondoka rasmi ndani ya kikosi hicho huku akisaka changamoto mpya zitakazompa nafasi ya kucheza mara kwa mara kuelekea…
Klabu ya Mtibwa Sugar imetumia vyema uwanja wake wa Manungu Complex baada ya kuifunga Mashujaa mabao 2-1, katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Katika mchezo…
Wenyeji, Mashujaa wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Uwanja wa Lake Tanganyika…
KOCHA wa Mashujaa, Mohamed Abdallah βBaresiβ amesema kwa namna mashabiki wa Kigoma walivyo na hamu ya kuziona timu kama Simba, Yanga, Azam FC na nyingine…
VILABU vya Mashujaa ya Kigoma na Simba ya Dar es Salaam leo vimetambulisha wachezaji wengine wapya mmoja kila timu waliojiunga na klabu hizo. Mashujaa imemtambulisha…