Tag: Simba SC
KOCHA AZAM HATARINI KUPIGWA FAINI KISA SIMBA
KOCHA wa Azam FC, Rachid Taoussi ameonja joto ya Ligi Kuu Bara kwa mara ya kwanza baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Simba kwa...
WALA SIMBA HAIWAOGOPI AZAM HATA KIDOGO
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hawana hofu na wapinzani wao kwenye mchezo wao wa Mzizima Dabi ambao unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa New Amaan...
HADI SASA FEI TOTO AMEIPIGA YANGA MABAO MATATU
Wiki iliyopita habari iliyotawala ulimwengu wa michezo Tanzania ni kauli ya nyota wa Azam FC na Taifa Stars, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuhusu uhusiano...
AZIZ ANDABWILE AFICHUA SIRI YA USHINDI WA YANGA
Kiungo wa Yanga, Aziz Andabwile amesema wanafahamu kilichowahi kuwakuta mkoani Mbeya, Yanga alipopoteza mechi zake dhidi ya Ihefu kwa misimu miwili mfululizo, hivyo watakuwa...
MRITHI WA MGUNDA SIMBA APATIKANA
SIMBA Queens inasaka kocha mpya baada ya kuachana na Juma Mgunda na sasa iko mbioni kukamilisha dili la Kocha wa CBE ya Ethiopia, Birhanu...
NAMBA ZA CHAMA CAF ZA MOTO
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Clatous Chama amehusika kwenye mabao manane kati ya 17 yaliyofungwa na Yanga ikitinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa...
KWANINI WACHEZAJI HUVAA VEST ZA CATAPULT? KAZI YAKE NI HII
Bila shaka umewahi kuwaona wachezaji wengi wa Ulaya na hata wa hapa Tanzania kama Simba, Yanga, Azam na vilabu vingine vikubwa wakiwa wamevalia vest...
ETOO AMEANZA MABALAA YAKE..TANZANIA IWE NA TIMU 8 KIMATAIFA
Samuel Etoo amesema Mataifa yenye Nguvu kisoka ngazi ya Vilabu kama Tanzania yanapaswa kuwa na timu 4 Kwenye michuano ya Ligi ya mabingwa Afrrika...
FREDDY AUKUBALI MOTO WA ATEBA…AITABIRIA SIMBA FAINALI
Straika wa zamani wa Simba, Freddy Michael ambaye alikuwapo uwanjani akiishuhudia timu yake ya zamani ikimkanda Mwarabu mabao 3-1 na kufuzu hatua ya makundi...
FADLU: SIMBA INAENDA KUWA TISHIO
KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, amewaambia wanachama na mashabiki wa timu hiyo ambao wanaonekana kuanza kukisifia kikosi chao baada ya kutinga hatua ya...