SIMBA WANAIHOFIA YANGA, ISHU IKO HIVI
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kupitia Ea Radio, Martin Mwakiposa amesema kuwa mashabiki wa Klabu ya Simba wanahofia mziki wa wapinzani wao Yanga SC…
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kupitia Ea Radio, Martin Mwakiposa amesema kuwa mashabiki wa Klabu ya Simba wanahofia mziki wa wapinzani wao Yanga SC…
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kutoka East Africa Radio, Samwel Rashid mwenyewe anajiita Wakanda Republic amesema kuwa Klabu ya Simba wanapaswa wabadilishe malengo yao…
Aliyekuwa msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara amesema kuwa ni ngumu kutabiri matokeo ya mchezo wa Dabi kati ya Simba na Yanga kwani mchezo…
Siwezi kuilinganisha Simba na Yanga kimataifa , Kimataifa Mfano wa Simba ni Simba yenyewe, Yanga hajakutana na team ngumu kimataifa misimu ya hivi karibuni kiasi…
Simba juzi Jumamosi ilishinda mechi ya sita mfululizo kwenye Ligi Kuu msimu huu na sasa imerudi chimbo kujiandaa na mchezo ujao dhidi ya watani wa…
Klabu ya Simba tangu huu msimu uanze haijashinda hata mchezo mmoja wa mashindano wa Kimataifa achana na ule wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Power…
Sasa washindwe wao. Ndivyo unaweza kusema kufuatia udhamini walioupata Tanzania Prisons kutoka kampuni ya mbolea ya ruzuku, Bens Agro Star wenye thamani ya Sh150 milioni…
Nyota wa kimataifa wa Klabu ya Yanga, raia wa Afrika Kusini, Skudu Makudubela, amewaahidi Wananchi kuwa watazidi kufurahi kila atakapokuwa anapewa nafasi. Skudu ametoa kauli…
Kikosi cha Yanga SC, kesho Jumatatu, Oktoba 30, 2023 jioni kinatarajiwa kuanza mazoezi kuelekea Dabi ya Kariakoo. Mchezo huo wa Ligi Kuu ya NBC ambao…
Juzi kocha wa Yanga alilazimika kumpanga Gift Mauya badala Khalid Aucho katika kiungo cha chini. Doctor Aucho ndiye mchezaji muhimu zaidi Yanga, tayari ana kadi…