DAWA YA KIBU KUCHEZA KIKOSI CHA KWANZA SIMBA HII HAPA
Nilikuwa nasoma mahala Himid Mao akimzungumzia mchezaji wa Simba, Kibu Denis. Kwamba walinzi wengi watachukia kumkaba mchezaji wa aina yake. Ni msumbufu. Ni kweli ana…
Nilikuwa nasoma mahala Himid Mao akimzungumzia mchezaji wa Simba, Kibu Denis. Kwamba walinzi wengi watachukia kumkaba mchezaji wa aina yake. Ni msumbufu. Ni kweli ana…
Kocha mkuu wa Simba, Roberto Oliviera ‘Robertinho’, amesema anataka kuona wachezaji wake wakicheza mpira mzuri na tayari ameanza anaona muelekeo wa kikosi chake kucheza soka…
Wekundu wa Msimbazi Simba SC, wamekiri kuwaandikia bodi ya Ligi barua ya kuomba wacheze raundi ya tatu mechi dhidi ya Coastal Union. Akizungumzia suala hilo,…
Beki wa Simba,Henock Inonga amerudi kwao DR Congo baada ya kuumia bega katika mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Singida FG kwenye Uwanja wa…
HUENDA muda wowote kuanzia leo, Simba inaweza kumalizana na straika wao raia wa Zambia, Moses Phiri ili kumpisha kiungo mkata umeme raia wa Togo, Novon…
Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba, Roberto Oliveira Gonçalves do Carmo ‘Robertinho’, amesema kuwa bado anampika kiungo mshambuliaji wake, Luis Miquissone na anaamini atarejea katika…
Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe amesema kuwa nafasi yao ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu uko palepale licha…
Mabosi wa Simba wamekiangalia kikosi cha timu hiyo na kusema kikipata muunganiko na kurejesha soka lake, basi wapinzani watapata tabu sana kwani hawataacha kitu kutokana…
MASTAA watatu wa Simba wameanza kwa majanga msimu wa 2023/24 kutokana na kupata maumivu wakiwa kwenye majukumu yao. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 Simba ilishuhudia…
Uongozi wa Yanga umempa barua ya kumuacha huru aliekuwa mlinzi wake wa kulia Raia wa Jamhuri ya Congo Djuma Shaban. Beki huyo ambaye alikuwa tegemezi…