KOCHA BIASHARA UNITED: WACHEZAJI NIMEWAPA KAZI YA KUPAMBANA NA JEZI YA NJANO

0
 FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Biashara United amesema kuwa amewaambia wachezaji wake wapambane na kila mchezaji atakayekuwa na jezi ya njano uwanjani bila kujali...

BAADA YA VICHAPO MFULULIZO SIMBA YAPANIA KUTOFUNGWA

0
 BAADA ya kupokea vichapo kwenye mechi mbili mfululizo mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wamesema kuwa kwa sasa watapambana kutopoteza kwenye mechi zao...

NIDHAMU YAIBEBA ARSENAL IKIICHAPA DUNDALK 3-0

0
MIKEL Arteta,  Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa wachezaji wake wameweza kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Dundalk kwa sababu walicheza kwa nidhamu. Mchezo...

MTIBWA SUGAR HESABU ZAO KWA KAGERA SUGAR, YAANZA SAFARI LEO

0
 UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa utapambana kupata matokeo chanya kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Uwanja wa...

KMC KAMILI GADO KUVAANA NA GWAMBINA FC

0
 OFISA Habari wa Klabu ya KMC Christina Mwagala amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo Oktoba 30 dhidi ya Gwambina FC.KMC...

BIASHARA UNITED NA YANGA ZAPIGANA MIKWARA

0
 KIKOSI cha Yanga kilicho nafasi ya pili kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 7 na kujikusanyia pointi 19 kitakutana na Biashara United iliyo nafasi...

SVEN ATAJA SABABU YA KUMPA MAJUKU YA USHAMBULIAJI AJIBU

0
SVEN Vandenbroeck Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hakuwa na chaguo la kufanya ndani ya uwanja zaidi ya kumtumia Ibrahim Ajibu kuwa mshambuliaji kwenye...

AZAM FC YAZITAKA POINTI TATU ZA JKT TANZANIA

0
 UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa utapambana kuendelea na rekodi ya kupata matokeo wakiwa Uwanja wa Azam Complex baada ya kupoteza mchezo wa kwanza...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

0
 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa 

KOCHA YANGA AKUBALI UWEZO WA NYOTA WAKE

0
 CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wote wanajituma ndani ya Uwanja ikiwa ni pamoja na Farid Mussa ambaye ameanza kuwa...