MAJEMBE YA KAZI KWA YANGA NA SIMBA YANAYOANDALIWA KWA DABI NOVEMBA 7

0
 ZIMEBAKI siku tisa kwa sasa kabla ya dabi ya Yanga na Simba ambayo inatarajiwa kuchezwa Novemba 7, Uwanja wa Uhuru, tayari Cedric Kaze Kocha...

SVEN KWA MKWASA ANAPATA TABU, ATESEKA DAKIKA 270

0
 KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck raia wa Ubelgiji, ameonekana kuteseka kwa dakika 270 ambazo ni sawa na mechi tatu mbele ya kocha mzawa,...

MBALI NA KUIKOSA YANGA, MECHI NYINGINE AMBAZO MORRISON ATAKOSA HIZI HAPA

0
 NYOTA wa Simba, Bernard Morrison huenda ataukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaoihusu timu yake ya zamani ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Novemba 7, Uwanja...

KOCHA SIMBA ATAJWA KUWA TATIZO LA VICHAPO MFULULIZO

0
 ALIYEWAHI kuwa kocha wa Simba, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amemtaja kocha wa timu hiyo, Sven Vandenbroeck kuwa ndio chanzo cha matokeo mabaya kwenye michezo miwili...

KUMBE KAZE ALIKUWA KWENYE HESABU ZA SIMBA

0
 IMEELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Yanga wa sasa, Cedric Kaze alikuwa kwenye hesabu za mabosi wa Simba baada ya kumchimbisha Patrick Aussems kwenye nafasi...

MANCHESTER UNITED YAMPIGA MTU MKONO

0
 USIKU wa kuamkia leo Manchester United imeibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya RB Leipzig kwenye mchezo wa UEFA hatua ya makundi.Manchester United...

SVEN WA SIMBA ANA MTIHANI MZITO MWINGINE TENA MBELE YAKE

0
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa makosa ambayo wameyafanya kwenye mechi mbili zilizopita watayafanyia kazi kwenye mechi zao zijazo ili kuweza kupata...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI

0
 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Alhamisi.

RUVU SHOOTING: UWEZO WA SIMBA NI MDOGO,PIRA BIRIANI SASA LITAKUWA KACHORI

0
 MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa uwezo wa timu ya Simba inayojiita ina kikosi kipana ndani ya uwanja ni mdogo jambo...

MWADUI FC YAIPIGA MKWARA SIMBA

0
 KHALID Adam, Kocha Mkuu wa Mwadui FC amesema kuwa baada ya wachezaji wake kupokea zigo la mabao 6-1 mbele ya JKT Tanzania wakiwa nyumbani...