MWINYI ZAHERA ASHUHUDIA TIMU YA GWAMBINA FC IKIGAWANA POINTI MOJA NA POLISI TANZANIA

0
 MWINYI Zahera, Mkurugenzi wa Benchi la Ufundi ndani ya Klabubya Gwambina FC, leo Oktoba 19 alikuwa ndani ya Uwanja wa Sheik Amri Abeid akishuhudia...

MTIBWA SUGAR YAIFUNGA BAO 1-0 NAMUNGO FC

0
 SALUM Kihimbwa nyota wa Mtibwa Sugar FC leo Oktoba 19 amefunga bao lake la kwanza ndani ya msimu wa 2020/21 wakati timu yake ikishinda...

IHEFU FC KUKIWASHA KESHO DHIDI YA AZAM FC

0
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC kesho, Oktoba 20 wana kazi ya kupambana na Ihefu FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara...

SIMBA YAFIKIRIA MICHUANO YA KIMATAIFA

0
 KIUNGO wa Simba, Clatous Chama ana matumaini makubwa ya timu yao kufanya vizuri kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu.Michuano hiyo inatarajiwa kuanza Novemba...

LIGI YA MABINGWA AFRIKA NI BALAA TUPU

0
 LIGI ya Mabingwa Barani Afrika imeendelea mwishoni mwa wiki hii,  ikiwa ni hatua ya nusu fainali kwa miamba ya soka  Afrika ya Kaskazini Morocco...

MTIBWA SUGAR YAMSHUKURU KATWILA

0
BAADA ya jana, Oktoba 18 Zubeir Katwila aliyekuwa Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar kubwaga manyanga na kuibukia ndani ya Ihefu FC akiwa ni Kocha...

SPURS HAWAAMINI WANACHOKIONA

0
 JOSE Mourinho, Kocha Mkuu wa Tottenham Hotspur amesema kuwa waliadhibiwa jana mbele ya West Ham United kwa kuamini kwamba wamemaliza kazi jambo lililowaponza wagawane...

KIKOSI CHA AZAM FC KILICHOPO MBEYA KWA AJILI YA MCHEZO WA LIGI DHIDI YA...

0
 Kikosi cha Azam FC kilichopo Mbeya kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu FC, kesho Oktoba 20, Uwanja wa Sokoine 1.Beko2.David3.Wadada4.Abdul5.Bruce6.Agrey7.Mudathir8.Djodi9.Chirwa10.Tigere11.Domayo12.Sebo13.Niyonzima14.Nado15.Daniel16.Akono17.Lyanga18.Yakubu19.Sure20.Prince

MIPANGO YA YANGA NI NOMA, WAPIGA TIZI LA MAANA

0
 KAZI ya kuusaka ubingwa imeanza Yanga, hii ni baada ya kocha mpya wa kikosi hicho, Cedric Kaze kuanza kazi rasmi akiwa hataki utani hata...

SIMBA YAIFUATA TANZANIA PRISONS KWA MTINDO HUU

0
 KIKOSI cha Simba leo Oktoba 19 kimeanza safari kuelekea Mbeya ambapo kitakaa kwa muda wa siku mbili kabla ya kuelekea Rukwa kwa ajili ya...