Home Uncategorized ZAHERA AMZUNGUMZIA KIVINGINE KABISA SAID NDEMLA, AIBUA KIOJA KWA MKAPA

ZAHERA AMZUNGUMZIA KIVINGINE KABISA SAID NDEMLA, AIBUA KIOJA KWA MKAPA


TIMU ya Azam FC jana Jumanne, Mei 28, 2019 wamelipa kisasi baada ya kuifunga Yanga kwa mabao 2-0, mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Tanzania bara uliopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Bao la kwanza limefungwa na Daniel Amouh dakika ya 45 ya kipindi cha kwanza na bao la pili limefungwa na Mudathir Yahya dakika ya 50.

Timu zote mbili zilikuwa zinatafuta heshima kwenye uwanja wa Taifa leo ikiwa ni mchezo wa mwisho kwa msimu huu baada ya Yanga kuifunga Azam bao 1-0 katika mchezo wa kwanza.

Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera amesema; “Said Ndemla hayupo kwenye makaratasi yangu sina habari zake.”

“…….Hii t.Shirt na kofia zimekuwa ni utambulisho wangu msimu huu bahati mbaya hatujapata ubingwa,msimu ujao ntakuja na muonekano mwengine,“

SOMA NA HII  JUVENTUS WAMUOMBA RONALDO ASISEPE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here