Uncategorized

RAMADHAN KABWILI BADO HAKIJAELEWEKA YANGA, APATA DILI NJE

admin June 5, 2019 8:04 am
MLINDA mlango wa Yanga Ramadhani Kabwili amesema bado hawajafikia muafaka na mabosi wa timu moja nchini Sudan.
Akizungumza na Championi Jumatano, Kabwili alisema; “Mkataba wangu na Yanga umekwisha na bado sijaongeza mkataba mwingine, kwa sasa naendelea na mipango yangu mingine ikiwa ni pamoja na kuangalia ofa ambazo nipo nazo mkononi.”
“Kuna timu moja ipo nchini Sudan ambayo inahitaji huduma yangu wakati ukifika nitaweka wazi kila kitu.

“Kipaumbele changu cha kwanza ni timu yangu ya Yanga ofa yao lazima niifanyie kazi ukizingatia wao ndiyo wamenilea na kunifikisha hapa nilipo, ni suala la wakati,” alisema Kabwili.
VIDEO: DIAMOND ATUA NA HELKOPTA KAHAMA Yanga sio ‘viti maalumu’, lakini Simba…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply