Uncategorized

ZAHERA ALIAMSHA DUDE YANGA, AWAGOMEA MAKOCHA WAZAWA

admin June 6, 2019 7:30 am

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa hatokuwa tayari kufanya kazi na kocha mzawa ambaye atatafutiwa na viongozi wa Yanga.

Zahera amesema ameskia taarifa za viongozi wa Yanga kuanza kufanya mchakato wa kumtafutia kocha msaidizi kwa ajili ya msimu ujao ambaye atakuwa mzawa jambo ambalo hakubaliani nalo.

“Najua kuna matatizo makubwa sana kufanya kazi na mzawa, haina maana kwamba hawezi kufanya kazi hapana ni matatizo tu ambayo wanayo hasa kwenye benchi la ufundi.

“Kocha mzawa sitafanya naye kazi, mimi ninamtafuta kocha wangu mwenyewe,” amesema Zahera.

MCHUNGAJI MASHIMO, MANARA HAPATOSHI! AZAM KUIFUMUA YANGA, KMC

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply