Uncategorized

AZAM KUIFUMUA YANGA, KMC

admin June 6, 2019 7:55 am


UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa utamtangaza kocha wa kikosi hicho hivi karibuni huku akidokeza kuwa anatoka ndani ya Ligi ya bongo.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Popat amesema ni suala la muda kwa kuwa mipango ipo sawa.

“Kila kitu kwa sasa kipo sawa na tutamtangaza kocha muda wowote hivi karibuni, anaweza kuwa wa KMC,(Etiene Ndiyaragije), ama yule wa Yanga,(Mwinyi Zahera) hata wa Simba (Patrick Aussems).

“Kuhusu kocha Idd Cheche yeye ataendelea kuwa kocha msaidizi na Abdul Mingange atarejea kwenye timu yake ya vijana kwa kuwa ndiko alikokuwa,” amesema.

ZAHERA ALIAMSHA DUDE YANGA, AWAGOMEA MAKOCHA WAZAWA KMC WAIPA AZAM FC KOCHA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply