Uncategorized

PLAYOFF LIVE: KAGERA SUGAR 0-0 PAMBA

admin June 8, 2019 1:40 pm


Kagera Sugar 0-0 Pamba
Uwanja wa Kaitaba
Kipindi cha kwanza

MCHEZO kwa sasa kati ya Kagera Sugar na Pamba FC zote za kanda ya ziwa umeanza ikiwa ni kipindi cha kwanza uwanja wa Kaitaba.

Ushindani ni mkubwa na mashabiki wengi wamejitokeza kuona mchezo huu amabao utaamua hatma ya timu hizi mbili kubaki ndani ya TPL kwa Kagera Sugar ama kupanda kwa Pamba FC.

Mpira ulisimama kwa muda wa dakika  kutokana na mlinda mlango wa Pamba FC Kupata majeraha hivyo baada ya kupewa huduma ya kwanza amerejea langoni.

MCHEZO WA KAGERA SUGAR V PAMBA WAINGIWA NA DOA, DAKIKA 16 ZAPITA Timu za Ligi kuu msimu 2019/2020 hizi hapa

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply