Uncategorized

Baada ya Bocco, Simba kutangaza mwingine leo!

admin June 11, 2019 7:38 am

Baada ya jana Simba Sc kutangaza kumuongezea mkataba John Bocco, leo hii itatangaza mchezaji mwingine tena waliomsajili.

 

Akizungumza na mtandao huu mtendaji mkuu wa klabu ya Simba, Bwana Magori amedai kuwa leo kutakuwepo na tangazo jipya la mchezaji.

” Watu wakae kwenye mitandao ya kijamii yote ya Simba, Twitter, Instagram kuna mwingine atatangazwa leo”- alidai Magori

The post Baada ya Bocco, Simba kutangaza mwingine leo! appeared first on Kandanda.

SIMBA, WALTER BWALYA MAMBO SAFI MKALI WA MIASISTI KUTUA MANCHESTER UNITED

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply