Uncategorized

MATOLA WA LIPULI AIBUKIA POLISI TANZANIA, ASAINI MWAKA MMOJA

admin June 14, 2019 10:11 am

SELEMAN Matola amepewa kandarasi ya kuinoa timu ya Polisi Tanzania iliyopanda Daraja msimu huu kushiriki Ligi Kuu Bara.


Matola ambaye alikuwa kocha wa Lipuli ametambulishwa leo wa ajili ya kuanza kuinoa timu hiyo na atafanya kazi kwa kushirikiana na Ali Suleiman ambaye ndiye mkurugenzi wa benchi la ufundi.

Ofisa Habari wa Polisi Tanzania, Frank Lukwaro amesema kuwa huo ni mwanzo tu kwani mipango ya kikosi ipo sawa kwa ajili ya ushindani.
KUMEKUCHA NAMUNGO, WAGOMEA WACHEZAJI WA MAJARIBIO SINGIDA UNITED YA MINZIRO YASAKA WACHEZAJI 10 KATI YA 500

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply