Uncategorized

Miraji avunja kanuni ya saa saba kamili?

admin June 18, 2019 4:17 pm

Winga wa klabu ya Lipuli Fc yenye makazi yake mjini Iringa, Miraj Athumani, huenda anaelekea katika klabu ya Simba Sc baada ya kupost picha yake leo akiwa pembeni ya bango la Simba Sc.

Miraji aka Sheva, mfungaji wa mabao 7 msimu uliopita alikuwemo katika kikosi ha wachezaji 32 kilichoenda Misri. Alichujwa katika awamu ya mwisho kupata kikosi cha wachezaji 23.

Winga huyo amewahi kuchezea timu ya vijana ya Simba sc hapo kabla, na amekuwa nguzo muhimu katika kampeni ya Ligi Kuu msimu uliopita kwa upande wa Lipuli Fc.

Tunaendelea kufuatilia zaidi….

The post Miraji avunja kanuni ya saa saba kamili? appeared first on Kandanda.

WENGINE WAWILI WASAINI LEO AZAM FC ALIKIBA AIGA ALICHOKIFANYA DIAMOND – VIDEO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply