Mkazi wa Kinondoni Bwana Bakari Mustapha Salum, akikabidihiwa mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 7 mara baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 11 kati ya 13 za JackPot ya SportPesa.Kulia ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa SportPesa Bi. Sabrina Msuya.