Uncategorized

YANGA YAFANYA USAJILI MWINGINE WA KUTISHA

admin June 22, 2019 12:01 pm


Kiungo Mapinduzi Balama amesaini mkataba wa miaka mitatu kujiunga na klabu ya Yanga.

Kiungo huyo amefikia makuabliano na Yanga  akitokea Alliance FC ya Mwanza.


Usajili huo unaendelea ikiwa ni moja ya maboresho yanayofanywa na uongozi wa klabu ili kujiandaa kuelekea msimu ujao.

Ikumbukwe kwa Mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo, Fredrick Mwakalebela, alisema kuwa wanafanyia kazi ripoti ya Kocha Mkuu Mwinyi Zahera ambaye yuko Misri.

Zahera yuko na kikosi cha timu ya taifa ya Congo akiwa kama Kocha Msaizidi.

SAMATTA: TUKO FITI, SENEGAL ANAKUFA JUMA KASEJA ASANI MIAKA KMC

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply