Uncategorized

EXCLUSIVE!! YANGA YANASA KIFAA KUTOKA SIMBA

admin June 23, 2019 12:01 pm


Klabu ya Yanga Princess imekamilisha usajili wa mchezaji Asha Abdul Malamwa kwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili.


Asha amejiunga na Yanga Princess akitokea katika kikosi cha Simba Queens.

Mkataba wa Asha na Yanga Princess utadumu mpaka mwaka 2021.

TUZIJADILI HOJA ZA ROSTAM MSITARI KWA MSTARI, MIHEMKO KATIKA HILI SI JIBU SAHIHI BAADA YA KUZINGUA, SABABU ZA CHIRWA KURUDISHA MAJESHI AZAM FC HIZI HAPA…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply