Uncategorized
EXCLUSIVE!! YANGA YANASA KIFAA KUTOKA SIMBA
admin
June 23, 2019
12:01 pm
Klabu ya Yanga Princess imekamilisha usajili wa mchezaji Asha Abdul Malamwa kwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili.
Asha amejiunga na Yanga Princess akitokea katika kikosi cha Simba Queens.
Mkataba wa Asha na Yanga Princess utadumu mpaka mwaka 2021.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.