Uncategorized

HAWA HAPA NYOTA WANNE WA YANGA KUJUA KAMA PANGA LITAWAHUSU WIKI HII

admin June 26, 2019 7:38 am

UONGOZI wa Yanga umesema wiki hii utaweka hadharani majina ya wachezaji watakaoachwa ili kuwapa muda wa kujipanga.

Mpaka sasa bado kuna wachezaji ambao hawajua hatma yao ndani ya Yanga huenda wakajua mwisho wao kama watabaki ama kusepa mazima.

Wachezaji hao ni pamoja na

Anthony Matheo

Deus Kaseke

Haji Mwinyi

Mrisho Ngassa






MRITHI WA NDAYIRAGIJE NDANI YA KMC HUYU HAPA Yanga, Kaseke wanazungumza kuhusu dili jipya

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply