Uncategorized

STARS YAENDELEA KUKALIA MKIA KUNDI C AFCON, YACHAPWA 3-2 NA KENYA

admin June 27, 2019 10:13 pm


Kikosi cha Taifa Stars kimpoteza tena mchezo wa Kombe la Mataifa ya Afrika awamu hii dhidi ya Kenya kwa kuchapwa mabao 3-2.

Kipigo hiki kimekuwa cha pili baada ya mechi ya kwanza kufungwa mabao 2-0 na Senegal.

Mabao ya Kenya yamefungwa na Michael Olunga aliyeingia kambani mara mbili huku moja likiwekwa kambani na Johanna Omolo.

Wakati Stars imefunga mabao yake kupitia kwa Mbwana Samatta na Simon Msuva.

Stars sasa itakabiliwa na kibarua kingine dhidi ya Algeria Jumatatu kunako kundi C ambapo mpaka sasa haina alama hata moja.

Simon Msuva aingia katika rekodi kuu baada ya miaka 39 MESSI ANA OFA TANO MKONONI KWA SASA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply