Uncategorized

SINGIDA UNITED YASAJILI MAJEMBE MAWILI

admin June 30, 2019 10:20 am

KLABU ya Singida United leo imeanza rasmi usajili wake kuelekea msimu ujao kwa kuwasajili majembe mawili.

 Beki wa kushoto, Salum Marcelo ambaye alikuwa akitumikia Malindi FC na mshambuliaji, Herman Frimpong kutoka Ghana wamesaini kandarasi ya miaka mitatu.

Ofisa Habari wa Singida United Cales Katemana amesema kuwa wataanza kambi rasmi Julai Mosi mwaka huu.

DIRISHA LA USAJILI BARA LAFUNGULIWA KWA CAF NA LIGI KUU, FAINI ZATAJWA MTUPIAJI MWINGINE TENA ANASWA KMC

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply