Uncategorized

MTUPIAJI MWINGINE TENA ANASWA KMC

admin June 30, 2019 10:29 am


VITALIS Mayanga leo amejiunga na KMC kwa kandarasi ya mwaka mmoja akitokea klabu ya Ndanda. 

Mayanga akiwa ndani ya Ndanda msimu wa 2018/19 alitupia jumla ya mabao 10 anaungana na Salim Aiyee ambaye msimu uliopita alitupia mabao 18, amesaini kandarasi ya miaka miwili.

Akizungumza na Saleh Jembe, Mayanga amesema kuwa ni muda wake kupata changamoto mpya shemu nyingine.

SINGIDA UNITED YASAJILI MAJEMBE MAWILI OKWI AGOMEA MKATABA SIMBA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply