Tunaendelea kujaza wachezaji ambao wanajiunga/kuongeza mikataba katika vilabu vya Ligi Kuu kwa msimu wa Ligi Kuu 2019/20. Hii ni kwa mujibu wa taarifa tunazozipata kupitia klabu husika tu.
| # | Mchezaji | Timu | Nafasi |
|---|---|---|---|
| 1 | Aishi Manula |
Simba SC | Kipa |
| 2 | Beno Kakolanya |
Simba SC | Kipa |
| 3 | Bigirimana Blaise | Namungo FC | Kiungo |
| 4 | Charles Martin Ilanfia | KMC FC | Kiungo |
| 5 | Daniel Joram | Namungo FC | Kiungo |
| 6 | Erasto E. Nyoni |
Simba SC | Mlinzi |
| 7 | Hassan Salum Kabunda | KMC FC | |
| 8 | John R. Bocco |
Simba SC | Straika |
| 9 | Jonas Mkude |
Simba SC | Kiungo |
| 10 | Jukumu Joachim Kibanda | Namungo FC | Mlinzi |
| 11 | Juma Kennedy |
Simba SC | Mlinzi |
| 12 | Meddie Kagere |
Simba SC | Straika |
| 13 | Mwadini Ali | Azam FC | Kipa |
| 14 | Rehani Kibingu | KMC FC | Kiungo |
| 15 | Reliants Lusajo | – | |
| 16 | Sadalah M Lipangile | KMC FC | Mlinzi |
*Angalizo: Tutajaza tena majina rasmi baada ya bodi ya ligi kutoa majina ya mwisho, endelea kupitia hapa
The post Wachezaji waliokamilisha usajili Ligi Kuu 2019/20 appeared first on Kandanda.













