Uncategorized

VIGOGO 10 WATEULIWA NDANI YA YANGA KAMATI YA FEDHA

admin July 1, 2019 10:35 am


MWENYEKITI wa Yanga, Dr. Mshindo Msolla kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji amewateua wajumbe 10 kuunda Kamati mpya ya Fedha na Mipango.

Orodha ya walioteuliwa ndani ya Yanga kwenye Kamati hiyo hii hapa:-

Arafat Haji nafasi ya Mwenyekiti.

Shija Richard nafasi ya Makamu Mwenyekiti.

Deo Mutta yeye ni Katibu.

Kwa upande wa wajumbe ni pamoja na :- Said Kambi, Ally Mayay, Pindu Luhoyo, Baraka Katemba, Suma Mwaitenda,Haruna Batenga na Ivan Tarimo.

WAWA APIGWA PINI SIMBA BEKI MPYA YANGA ATUMA UJUMBE MZITO KWA WAPINZANI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply