Uncategorized
NINJA WA YANGA ATIMKIA KUKIPIGA MAREKANI
admin
July 2, 2019
12:06 pm
Abdalah Shaibu ‘Ninja’ amesaini kandarasi ya miaka minne akitokea timu ya Yanga kuitumikia timu ya MKF Vyskov ya Jamhuri ya Czech.
Timu hiyo imemtoa kwa mkopo wa mwaka mmoja kwenda LA Galaxy inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani maarufu kama Major League.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.