Uncategorized

MABINGWA WATETEZI WA KAGAME AZAM FC WAWASILI RWANDA

admin July 4, 2019 10:01 am


KIKOSI cha Azam FC kimewasili salama nchini Rwanda ambako kimeelekea leo kwa ajili ya michuano ya kombe la Kagame.

Azam FC wanakwenda kutetea kombe lao ambalo walitwaa msimu uliopita uwanja wa Taifa kwa kuifunga timu ya Simba mabao 2-1.

Mbali na Azam FC timu nyingine ambayo imetia timu Rwanda ni KMC ambao nao pia watashiriki michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Julai 7-21.

SIRI IMEVUJA DIMPOZ, ZARI WALALA NYUMBA YA MONDI VIDEO: TAIFA STARS WAREJEA DAR

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply