Uncategorized

HIKI NDICHO WANACHOJIVUNIA STARS AFCON

admin July 5, 2019 7:31 am

KOCHA wa timu ya Taifa, Emman

uel Ammunke amesema kuwa walichokipata kwenye michuano ya Afcon Misri ni uzoefu hivyo watafanya vema wakati mwingine.

Tanzania ilishindwa kutinga hatua ya 16 bora baada ya kupoteza michezo yote mitatu hali iliyowafanya warejee nyumbani bila pointi.

“Ushindani ulikuwa mkubwa na tumefanya kwa kadri ya uwezo wetu, kikubwa ambacho tumekipata ni uzoefu na kujiongezea hali ya kujiamini,” amesema Ammunike.

ROSE MUHANDO MAJANGA TENA MBWANA SAMATTA MAMBO NI MOTO, OFA TATU ZA MAANA ENGLAND

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply