Uncategorized

AZAM FC: TUNAPAMBANA KWA AJILI YA TAIFA KAGAME

admin July 6, 2019 9:02 am

KOCHA Msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche amesema kuwa wachezaji watapambana kupata matokeo chanya kwenye michezo yote ili kurejea na kombe lao la Kagame.


Azam kwa sasa ipo nchini Rwanda ambapo imekwenda kushiriki michuano ya Kagame na kesho itashusha kete yake ya kwanza kwa kumenyana na Mukura.

“Mchezo wetu wa kwanza ni kesho dhidi ya Mukura, hatuwatambui wapinzani wetu ila tunaingia uwanjani kupambana na tunatambua kwamba tunapeperusha Bendera ya Taifa, ni wakati wetu kuonyesha kwamba tumekuja kufanya kweli,” amesema Cheche.

POGBA NOMA, KUPELEKA NYOTA WAWILI NDANI YA UNITED ASKARI AJIUA KISA MKWEWE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply