MABINGWA wa Ligi Visiwani Zanzibar, KMKM nao wana kibarua cha kukwea pipa kimataifa.
KMKM wataanzia nyumbani dhidi ya Deportivo do 1 Agosto ya Angola kwenye Ligi ya Mabingwa.
Malindi FC wao wataanzia ugenini dhidi ya Mogadishu City ya Somalia kwenye Kombe la Shirikisho.